Tuesday, May 7, 2013

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKIWAPA POLE BAADHI YA MAJERUHI KATIKA HOSPITALI YA MOUNT MERU JIJINI ARUSHA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwapa pole baadhi ya majeruhi wa bomu la kutupwa kwa mkono lililolipuka katika kanisa Katoliki la Olasiti Jijini Arusha, wakati alipowatembelea kwenye hospitali ya mkoa wa Arusha leo, Mount Meru(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 













No comments: