Tuesday, May 7, 2013

MKUU WA MKOA WA RUVUMA NA WAKURUGENZI WA TAKUKURU WAKIFUATILIA SEMINA YA RUSHWA ILIYOHUSISHA VIONGOZI WA DINI

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu upande wa kushoto na Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) Edward Hosea na upande wa kulia ni  Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Ruvuma, Daudi Masiko wakifuatilia semina ya Rushwa iliyohusisha viongozi wa Dini kutoka Nyanda za juu kusini, inayofanyika leo kwenye ukumbi wa Heritage uliopo mjini Songea.(Picha na Mwandishi wetu)

No comments: