Monday, March 20, 2017

COPE YAKUSUDIA KUBORESHA MNYORORO WA THAMANI YA MAZIWA SONGEA

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Dkt. Binilith Mahenge aliyekuwa upande wa kushoto akimsikiliza Mkurugenzi wa shirika lisilokuwa la serikali la COPE kutoka nchini Italia Valentina Quaranta ofisini kwake mjini Songea jana, ambapo shirika hilo linakusudia kuwekeza katika mradi wa kuboresha mnyororo wa thamani ya uzalishaji wa maziwa katika halmashauri tatu za mkoa huo yaani Songea Manispaa, halmashauri ya wilaya ya Songea na Namtumbo.

No comments: