Monday, March 20, 2017

TUKIO KATIKA PICHA: WENYEVITI WA MITAA MANISPAA SONGEA WALALAMIKIA WATUMISHI WA MANISPAA HIYO

Mwenyekiti wa mtaa wa Mahenge B katika Manispaa ya Songea Adili Mchome akitoa malalamiko yake na ya Wenyeviti wenzake wa mitaa mbalimbali katika Manispaa hiyo juzi kwa Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Dkt. Binilith Mahenge hayupo pichani, juu ya dharau wanayofanyiwa na baadhi ya watumishi wa Manispaa kila wanapokwenda katika ofisi za serikali kwa ajili ya kupata huduma na miongozo mbalimbali itakayoweza kuwasaidia namna ya kuboresha utendaji wa kazi zao za kila siku, kikao hicho kilifanyika mjini hapa ambapo Dtk. Mahenge alikemea hali hiyo na kuwataka watumishi hao wafanye kazi kwa kuheshimu watu na kuzingatia maadili ya kazi zao.

No comments: