Monday, March 20, 2017

UJENZI WA DARAJA MTO RUHUHU UMESIMAMA KUTOKANA NA KUKOSEKANA VIFAA VYENYE UWEZO WA KUCHIMBA MASHIMO YA KUSIMAMISHA NGUZO

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Ruvuma, Oddo Mwisho upande wa kulia akiangalia hivi karibuni Kalavati linalojengwa katika mto Ruhuhu ikiwa ni maandalizi ya ujenzi wa daraja kubwa katika mto huo linalounganisha wilaya ya Nyasa mkoa wa Ruvuma na wilaya ya Ludewa mkoa wa Njombe, hata hivyo ujenzi wa daraja hilo umesimama kufuatia kukosekana kwa baadhi ya vifaa vyenye uwezo mkubwa wa kuchimba mashimo ya kusimamisha nguzo za daraja hilo litakalojengwa.

No comments: