Monday, March 20, 2017

RC RUVUMA AWATAKA WAKULIMA WA MPUNGA NYASA KUTUNZA MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dkt. Binilith Mahenge akiangalia kibanio kinachotumika kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji wa zao la Mpunga katika mto Wabu halmashauri ya wilaya ya Nyasa mkoani humo ambapo wakulima hutegemea mto huo kwa ajili ya kuzalisha zao hilo kwa manufaa ya maendeleo yao ambapo Dkt. Mahenge alisisitiza pia kwa kuwataka wakulima hao waitunze miundombinu ya kilimo hicho.

No comments: