Monday, March 20, 2017

MATUKIO KATIKA PICHA: RAIS DKT. MAGUFULI NA RAIS WA BENKI YA DUNIA DKT. JIM YONG KIM UWEKAJI JIWE LA MSINGI MRADI BARABARA ZA JUU JIJINI DAR ES SALAAM

            Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akivuta kitambaa pamoja na Rais wa benki ya dunia Dkt. Jim Yong Kim kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi katika mradi wa ujenzi wa makutano ya barabara za juu katika eneo la Ubungo Interchange Jijini Dar es Salaam. Pembeni kulia ni mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akipiga makofi.
           Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Rais wa benki ya dunia Dkt. Jim Yong Kim mara baada ya kuzindua mitambo na magari yatakayotumika katika ujenzi wa makutano ya barabara za juu za Ubungo Jijini Dar es Salaam.
           Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa benki ya dunia Dkt. Jim Yong Kim wakimsikiliza Kaimu mtendaji mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mhandisi Crispianus Ako aliyekuwa akielezea nama ya ujenzi huo makutano ya barabara za juu za Ubungo (Ubungo interchange) zitakavyokuwa.
             Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais wa benki ya dunia Dkt. Jim Yong Kim pamoja na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mabarawa wakati wakielekea kuweka jiwe la msingi ujenzi wa makutano ya barabara za juu Ubungo interchange, Ubungo Jijini Dar es Salaam.
            Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na             Rais wa benki ya dunia Dkt. Jim Yong Kim wakiwapungia wananchi mkono               wakati wakielekea kuweka jiwe la msingi ujenzi wa makutano ya barabara za juu                                Ubungo interchange, Ubungo Jijini Dar es Salaam.
                    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli                    akifurahia jambo wakati akiwa ndani ya basi la Mwendokasi pamoja na Rais                  wa benki ya dunia Jim Yong Kim (anayetazama kadi yake ya DART) wakati                     wakitokea kituo kikuu cha BRT-Kivukoni kuelekea Ubungo kwa ajili ya                       uwekaji wa jiwe la msingi mradi wa Makutano ya barabara za juu Ubungo                                          interchange, Ubungo Jijini Dar es Salaam.
                    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli                      akizungumza jambo na Rais wa benki ya dunia Dkt. Jim Yong Kim wakati                    wakiwa ndani ya moja ya basi la DART wakati wakitokea kituo kikuu cha                   BRT-Kivukoni kuelekea Ubungo kwa ajili ya uwekaji wa jiwe la msingi mradi               wa Makutano ya barabara za juu Ubungo interchange, Ubungo Jijini Dar es                                                                  Salaam.
                     Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli                     akimkaribisha Rais wa benki ya dunia Dkt. Jim Yong Kim mara baada ya                                             kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.
                 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli                    akizungumza na Rais wa benki ya dunia Dkt. Jim Yong Kim mara baada ya                  kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.
          Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Rais wa benki ya dunia Dkt. Jim Yong Kim mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam.
                   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli           akiwa na mgeni wake Rais wa benki ya dunia Dkt. Jim Yong Kim wakati wakiagana na wananchi wa Kivukoni hawapo pichani kabla ya kupanda Basi la Mwendokasi (DART) kuelekea Ubungo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya uwekaji wa jiwe la Msingi Mradi wa Makutano ya barabara za juu za Ubungo Jijini Dar es Salaam.
                      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli                         akimshukuru Rais wa benki ya dunia Dkt. Jim Yong Kim mara baada                       ya kutoa hotuba yake kabla ya kuweka jiwe la msingi mradi wa Makutano                        ya barabara za juu Ubungo interchange, Ubungo Jijini Dar es Salaam.
                       Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akipanda basi la DART-maarufu                           kama Mabasi ya Mwendokasi katika eneo la Kivukoni wakati akielekea                       Ubungo kuhudhuria sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa ujenzi                    wa Makutano ya barabara za juu Ubungo interchange, Ubungo Jijini Da es Salaam.
       Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwa ndani ya basi la Mwendokasi wakati   akielekea Ubungo kuhudhuria sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa ujenzi wa     Makutano ya barabara za juu Ubungo interchange, Ubungo Jijini Dar es Salaam.
                  Baadhi ya Wananchi wakifuatilia kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa                    na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli                kabla ya kuweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa makutano ya barabara za              juu Ubungo interchange, Ubungo Jijini Dar es Salaam - Picha zote na Ikulu.

No comments: