Sunday, May 28, 2017

DKT. MAGUFULI NA MKEWE MAMA JANETH LEO WATEMBELEA WAGONJWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI JIJINI DAR ES SALAAM



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akizungumza na mzee Francis Maige Kanyasu (Ngosha) aliyelazwa wodi ya Mwaisela katika hospitali ya Taifa Muhimbili akipatiwa matibabu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akiwa pamoja na mkewe Mama Janeth Magufuli wakimtakia heri mtoto Shukuru Kisonga aliyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili pamoja na mama yake Mwanahabibi Mohamed Mtei.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli akiwajulia hali wagonjwa wengine waliolazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili leo Jijini Dar es Salaam. (Picha na Ikulu)

No comments: