Tuesday, May 9, 2017

DOKTA MAGUFULI ATOA MSAADA WA MAGARI YA KUBEBEA WAGONJWA KWA WABUNGE WA NKASI, TABORA NA SHINYANGA

Katibu mkuu Balozi John Kijazi (katikati) akiwa na Katibu mkuu Ikulu Alphayo Kidata (kushoto) na Mkurugenzi wa huduma Ikulu Charles Mwankupili (kulia) na wabunge Mhe. Alli Mohamed Kessy ambaye ni Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Mhe. Munde Tambwe na Mhe. Lucy Mayenga (Wabunge viti maalum) baada ya kuwakabidhi magari ya kubebea wagonjwa ambayo wamepewa msaada na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu Jijini Dar es Salaam leo Mei 9 mwaka huu. (Picha na Ikulu) 

No comments: