Saturday, May 6, 2017

RAIS DOKTA MAGUFULI AONGOZA MKUTANO WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA NCHINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara, Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza mkutano wa Baraza la kumi la Biashara Tanzania, katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete, Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 6, 2017. Wengine ni Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (kushoto), Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi (kulia) pamoja na Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF), Dkt. Reginald Mengi.
Baadhi ya Mawaziri pamoja na Wajumbe, wakimsikililiza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Biashara, Dkt. John Pombe Magufuli wakati akizungumza katika mkutano wa Baraza la kumi la Biashara Tanzania, kwenye ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete, Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 6, 2017. (Picha zote na Ikulu)

No comments: