Sunday, May 21, 2017

RAIS WA TANZANIA NA UGANDA WASAINI TAMKO LA PAMOJA UTEKELEZAJI WA UJENZI BOMBA LA MAFUTA HOIMA NA TANGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli na Rais wa Uganda Yoweri Museveni na wajumbe wenzao wakiwa katika mazungumzo ya mwisho,  kabla ya kutia saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji mradi wa ujenzi bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania kwenye hafla iliyofanyika leo Ikulu Jijini Dar es salaam.
Rais Dkt. John Magufuli na Rais wa Uganda Yoweri Museveni wakitia saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji mradi wa ujenzi bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga Tanzania katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Jijini Dar es salaam.
Rais wa Uganda Yoweri Museveni akizungumza mara baada ya kukamuilisha zoezi la utiaji saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji mradi wa ujenzi bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Jijini Dar es salaam.
Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli akizungumza mara baada ya kukamuilisha zoezi la utiaji saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji mradi wa ujenzi bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla iliyofanyika leo Ikulu Jijini Dar es salaam.
Rais Dkt. John Magufuli na Rais wa Uganda Yoweri Museveni wakiwa na Mawaziri na maafisa waandamizi wa nchi zote mbili baada ya kukamilika zoezi la utiaji saini tamko la pamoja, kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania leo Ikulu Jijini     Dar es salaam. (Picha zote na Ikulu)

No comments: