Monday, August 10, 2015

TUNAPASWA KUWASAIDIA WALEMAVU

Mlemavu ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, alinaswa na kamera yetu akiwa amefuatana na familia yake wakikatisha katikati ya mitaa mjini Tunduru mkoani Ruvuma kwa lengo la kuomba msaada kwa wasamaria wema, ili aweze kuendesha maisha yake ya kila siku. (Picha na Steven Augustino)

No comments: