Thursday, September 24, 2015

TUNAONDOKA KATIKA ENEO LA MKUTANO

Wahamasishaji wa kampeni za Ukawa mjini Tunduru mkoani Ruvuma, wakiondoka katika eneo la mkutano huo mara baada ya kutangaziwa na Mwenyekiti wao, Said Mwidadi kwamba mgombea Edward Lowassa hatafika katika viwanja hivyo kwa ajili ya kuwahutubia wananchi. (Picha na Steven Augustino)

No comments: