Thursday, September 24, 2015

TUNDURU WATAWANYIKA BAADA YA MGOMBEA UKAWA KUTOWASILI KWENYE VIWANJA VYA MKUTANO

Baadhi ya wananchi ambao walijitokeza leo kumlaki mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa wakitawanyika kutoka eneo la Ofisi za Chama Cha Wananchi CUF mjini Tunduru mkoa wa Ruvuma, baada ya kutangaziwa kuwa mgombea huyo hatafika. ( Picha na Steven Augustino ).

No comments: