Thursday, September 24, 2015

WANANCHI WATAKA KUJUA SABABU ZILIZOSABABISHA MGOMBEA UKAWA KUTOWASILI TUNDURU

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, Said Mwitadi akitangaza kuahirishwa kwa mkutano huo wa kampeni leo mjini hapa, ambao ulitarajiwa kuhutubiwa na mgombea urais kupitia tiketi ya chama hicho, Edward Lowassa hata hivyo wananchi hao walitangaziwa kwamba watapewa tena taarifa ni lini mkutano huo utaweza kufanyika. Pia Mwenyekiti huyo hakuweza kueleza ni sababu gani  za msingi zilizosababisha mgombea huyo wa urais kutowasili katika viwanja hivyo vya mkutano mjini Tunduru. ( Picha na Steven Augustino )

No comments: