Tuesday, September 1, 2015

ZIARA YA KAMPENI ZA CCM DOKTA MAGUFULI AENDELEA KUFUNIKA RUVUMA


Dokta John Magufuli akimkabidhi mgombea ubunge Jimbo la Mbinga mjini, Sixtus Mapunda Ilani ya Uchaguzi ya CCM wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika mjini hapa.

Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dokta John Mgufuli akionesha Ilani ya uchaguzi ya CCM, kabla ya kumkabidhi mgombea ubunge Jimbo la Mbinga vijijini, Martin Msuha wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika mjini hapa.

Dokta Magufuli akimsalimia mlemavu ambaye naye alijitokeza kwenye mkutano huo wa kampeni Mbinga mjini mkoani Ruvuma. 

Dokta John Magufuli akijinadi kwenye mkutano wa kampeni, Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma.

Mgombea ubunge Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma, Jenista Mhagama akipokea Ilani ya uchaguzi ya CCM kutoka kwa mgombea Urais kupitia tiketi ya chama hicho, Dokta John Magufuli wakati wa mkutano huo wa kampeni. 


Mgombea Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dokta Magufuli akiwapungia mkono wananchi, ikiwa ni ishara ya kuwaaga mara baada ya kujinadi katika Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma.

No comments: