Tuesday, August 29, 2017

RAIS DOKTA MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na Katibu Mkuu kiongozi pamoja na mawaziri wakisimama kwa heshima kumkumbuka aliyekuwa karani wa Baraza la Mawaziri Marehemu Hassan Rashid Shebuge aliyefariki mwezi Julai mwaka huu, kabla ya kuanza kikao hicho leo kilichofanyika Ikulu Jijini    Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawziri Ikulu Jijini Dar es salaam leo.(Picha na Ikulu)

No comments: