Wednesday, November 22, 2017

MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA VIONGOZI WAKE WAKUU OFISI YA MAKAMU WA RAIS

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan upande wa kulia akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira January Makamba, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mhandisi Joseph Malongo na Naibu Katibu Mkuu Bi. Butamo Philip leo Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wake wakuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais leo Ikulu jijini Dar es Salaam mara baada ya kufanya nao mazungumzo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

No comments: