Wednesday, November 22, 2017

RAIS MAGUFULI AKUTANA NA RAIS SHEIN NA BALOZI WA JAPAN IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Japan nchini, Masaharu Yoshida alipokutana naye na kufanya mazungumzo leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dokta Alli Mohamed Shein walipokutana na kufanya mazungumzo leo Ikulu jijini Dar es Salaam.


No comments: