Thursday, November 19, 2015

MAJALIWA NDIYE WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Kassim Majaliwa.

HATIMAYE Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, muda mfupi uliopita limepitisha jina la Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa kwanza wa serikali ya awamu ya tano baada ya jina lake kupelekwa Bungeni na Rais wa Tanzania, Dokta John Magufuli.

Majaliwa amepitishwa kwa kura 258 sawa na asilimia 73.5 ya kura zote za ndio.

No comments: