Thursday, March 10, 2016

RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA BENKI KUU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli, akiwa ameongozana na Naibu Gavana wa Benki Kuu (BOT) Dkt. Natu Mwamba alipowasili makao makuu ya benki hiyo kwa kufanya ziara ya kushitukiza leo.


No comments: