Sunday, October 4, 2015

HII NI KERO NA AIBU KWA MANISPAA YA SONGEA

Uchafu ukiwa umefurika na kusambaa kwenye ghuba karibu na Soko kuu la Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma na kusababisha kero kubwa kwa wapita njia, kutokana na taka hizo kutoa harufu mbaya. Kwa ujumla Manispaa hiyo imekuwa ikilalamikiwa kwa muda mrefu sasa na wananchi wake, kwa kushindwa kufanya usafi katika maeneo mbalimbali ya mji huo. (Picha na Muhidin Amri)

No comments: