Saturday, October 17, 2015

MAMIA WAMUAGA MBUNGE DEO FILIKUNJOMBE NYUMBANI KWAKE KIJICHI DAR ES SALAAM

 Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deogratias Filikunjombe wakati wa ibada ya kuuaga iliyofanyika nyumbani kwake Kijichi Dar es Salaam leo mchana.
 
 Majeneza yenye miili ya aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deogratias Filikunjombe na ndugu zake, Plasdus Ngabuma na Casablanga Haule yakiwa yamewekwa mbele wakati wa ibada ya kuiombea iliyofanyika nyumbani kwa mbunge huyo Kijichi Dar es Salaam leo, kabla ya kusafirishwa kwenda Ludewa kwa mazishi.
 
 Mjane wa Deo Filikunjombe, Sarah (katikati) akisaidiwa na jamaa zake wakati wa ibada hiyo.
 
 Waombolezaji wakiwa kwenye ibada hiyo.
 
 Padri Maxmillian Wambura, kutoka Parokia ya Mtakatifu Wote Kiluvya akiyamwagia mafuta ya baraka majeneza hayo.
 
 Waombolezaji wakiwa katika ibada hiyo.
 
 Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza la Plasdus Haule.
 

  Familia ya Filikunjombe ikiwa katika ibada hiyo.
 
 Waombolezaji wakiwa kwenye ibada hiyo.
 
Nyumba ya Filikunjombe ambayo inadaiwa amekaa wiki mbili tangu ahamie baada ya kukamilika ujenzi wake 'Hakika tumuache mungu aitwe mungu"
(Imeandaliwa na mtandao wa habari za jamii.com)

No comments: