Wednesday, October 28, 2015

BREAKING NEWS: UCHAGUZI ZANZIBAR WAFUTWA KUTOKANA NA VIKWAZO MBALIMBALI

Na Mwandishi wetu,

MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha ametangaza kufutwa kwa uchaguzi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar mpaka hapo itakapotangazwa tena.

Taarifa kamili hii hapa; 




No comments: