Tuesday, October 6, 2015

PICHA YA WIKI: MKUU WA WILAYA MBINGA AKIFURAHIA TEKINOLOJIA YA MAJIKO SANIFU YA KUPIKIA

Mkuu wa wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, Senyi Ngaga akijaribu kupika chakula kwa kutumia jiko sanifu lililotengenezwa na kampuni ya RTE IMPROVED STOVED TANZANIA LIMITED, ambayo hutumia kiasi kidogo cha kuni na kuelezwa kuwa kama jamii itahamasishwa kuyatumia itasaidia kupunguza matumizi ya mkaa na kuni. Katikati ni mkurugenzi wa kampuni hiyo, David Nzimba.

No comments: