Tuesday, November 20, 2012

CHANZO CHA MTO LUHIRA SONGEA CHAPOTEZA MAJI YAKE

















Mshauri wa mtandao wa maji safi katika mamlaka ya maji safi na taka(SOUWASA) manispaa ya Songea mkoani Ruvuma Bw. Waiton Nyadzi, akionyesha chanzo cha mto Luhira jinsi gani kinavyozidi kupoteza maji yake kutokana na kile alichosema ni sababu ya mabadiliko ya tabia nchi shughuli za binadamu zisizo rasmi.(Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: