Saturday, November 17, 2012

KIONGOZI AKIPOKEA MAELEZO




Mkurugenzi wa mamlaka ya elimu na mafunzo(VETA) nyanda za juu Bi. Monica Mbele kulia, akimsikiliza fundi mkuu wa karakana ya vifaa tiba katika hospitali ya St. Joseph Peramiho, Bw. Baraka Chimbwi.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: