Tuesday, November 20, 2012

KERO YA MAJI SONGEA YAZIDI KUUMIZA VICHWA




















Mshauri wa maji safi katika manispaa ya Songea mkoani Ruvuma kutoka mamlaka ya maji safi na taka(SOUWASA) iliyopo katika manispaa hiyo Bw. Waiton Nyadzi, akiwaonyesha waandishi wa habari(Hawapo pichani) ambao walitembelea katika eneo ambalo maji yanachujwa tayari kuingia kwenye bwawa kubwa la kuhifadhia maji lililopo Matogoro katika manispaa hiyo. Waandishi wa habari walifanya ziara leo ya kutembelea eneo hilo kwa lengo la kujua hali halisi ya kero ya upatikanaji wa nishati hiyo muhimu ambayo inalikumba sasa manispaa hiyo.(Picha na nyandindiblog)

No comments: