Tuesday, November 20, 2012

MTAALAMU WA MAJI AKIWA NA WAANDISHI WA HABARI RUVUMA

















Mshauri wa mtandao wa maji safi katika manispaa ya Songea mkoani Ruvuma kutoka mamlaka ya maji safi na taka(SOUWASA) iliyopo katika manispaa hiyo, aliyenyosha mkono akiwa na waandishi wa habari katika eneo la bwawa kubwa la kuhifadhia maji ambayo yanasambazwa kwa wakazi wa manispaa hiyo kwa ajili ya matumizi mbalimbali. Bwawa hilo lina urefu meta 83 na upana wa meta 48 huku likiwa na kina cha meta 3.5 lipo katika eneo jirani na milima ya Matogoro(Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: