Sunday, November 18, 2012

FUNDI MKUU WA KARAKANA YA PERAMIHO AKITOA UJUZI WAKE

 Fundi mkuu wa karakana ya vifaa tiba katika hospitali ya St. Joseph Peramiho Bw. Baraka Chumbwi akionesha mojawapo ya mashine ya kupiga picha kwa wataalam na mafundi kutoka chuo cha Veta Songea, mafundi kutoka hospitali ya mkoa Ruvuma na ujumbe wa mamlaka ya elimu na mafunzo (VETA) nyanda za juu ukiongozwa na mkurugenzi wake Bi. Monica Mbele.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: