Tuesday, November 20, 2012

WAKAZI WA MANISPAA YA SONGEA TUACHE TABIA YA KUHARIBU VYANZO VYA MAJI




















Kibao hiki ambacho kimewekwa katika chanzo cha maji mto Luhira, kilichopo katika manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, kimewekwa maandishi ya kukataza wananchi wasiweze kuharibu chanzo hicho kwa kufanya shughuli mbalimbali kama vile kilimo. Chakusikitisha baadhi ya wananchi wanaoishi karibu na chanzo hicho bado wamekuwa ni tatizo ambapo wakati mwingine wamekuwa wakifanya shughuli zisizo rasmi ambazo zimekuwa zikisababisha kupungua kwa maji katika chanzo hicho. Manispaa kwa kushirikiana na wataalamu wake wamekuwa wakitumia nguvu za ziada kudhibiti hali hiyo isiweze kuendelea kuathiri eneo hilo ikiwemo mtu anayekamatwa kuchukuliwa hatua za kisheria kama vile kufikishwa mahakamani. (Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: