Sunday, November 18, 2012

MKURUGENZI WA VETA AKIPOKEA MAELEZO JUU YA DARUBINI INAVYOFANYA KAZI


Mkurugenzi wa Veta nyanda za juu Bi. Monica Mbele akiangalia darubuni katika karakana ya vifaa tiba, Hospitali ya St. Joseph  Peramiho, wengine ni fundi mkuu wa karakana hiyo Bw. Baraka Chumbwi upande wa kushoto na katikati kaimu mganga mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dkt. Benedict Ngaiza.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: