Tuesday, November 20, 2012

KUCHUJWA MAJI NA KUYATIBU

















Bw. Waiton Nyadzi ambaye ni mshauri wa maji safi manispaa ya songea katika mamlaka ya maji safi na taka(SOUWASA) aliyenyosha mkono pichani, akiwa katika eneo la mtambo wa kuchuja na kutibu maji akiwapa maelezo waandishi wa habari juu ya maji hayo yanavyochujwa na kuyatibu. katikati ni mwandishi wa habari gazeti la Majira Cresencia Kapinga na kushoto ni Bw. Jaffary Yahaya ambaye ni Mhandisi wa mipango na ujenzi katika mamlaka ya maji safi na taka(SOUWASA) manispaa ya Songea mkoani Ruvuma.(Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: