Tuesday, November 20, 2012

MAABARA YA KUTIBU MAJI SONGEA

















Mshauri wa mtandao wa maji safi kutoka mamlaka ya maji safi na taka manispaa ya Songea(SOUWASA) Bw. Waiton Nyadzi, akionyesha waandishi wa habari mitambo inayotumika kuchanganyia dawa ambazo hutumika kuyatibu maji ambayo husambazwa kwa watumiaji katika manispaa hiyo. Maabara ya mitambo hiyo imejengwa katika eneo la Matogoro.(Picha na Kassian Nyandindi)

No comments: