Saturday, November 17, 2012

KIONGOZI AKIWA KATIKA ZIARA

Mkurugenzi wa mamlaka ya elimu na mafunzo(VETA) nyanda za juu Bi. Monica Mbelle akiangalia moja ya vifaa tiba vilivyoharibika katika karakana ya hospitali ya St. Joseph Peramiho Songea vijijini, veta ina tarajia kufundisha wataalam na mafundi wa hospitali mbalimbali kutengeneza vifaa vilivyoharibika ambapo itasaidia kuokoa kiasi kikubwa cha fedha kwa kuagiza au kuleta mafundi kutoka nje ya nchi kwa ajili ya ukarabati wa vifaa hivyo.(Picha na Muhidin Amri)

No comments: