Sunday, November 18, 2012

VIONGOZI WAKIPATA MAELEZO JUU YA KITI KINACHOTUMIKA KATIKA SHUGHULI ZA UPASUAJI


Kaimu mganga mkuu wa hospitali ya mkoa wa Ruvuma(HOMSO)) Dkt. Benedict Ngaiza upande wa kulia akiwa na mkurugenzi wa Veta nyanda za juu Bi. Monica Mbele wa pili kulia, wakiangalia kiti kinachotumika kwa ajili ya shughuli za upasuaji katika hospitali ya St. Joseph Peramiho. (Picha na Muhidin Amri)

No comments: